Nafasi za Kujiunga na Chuo kwa Mwaka wa Masomo 2024/2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Mafunzo ya Afya ya Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health ) – TTCIH kilichopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro anawatangazia umma kwamba sasa Chuo kinapokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2024/225 kwa kozi zifuatazo; Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) – Miaka Mitatu Stashahada ya Utabibu […]