Tangazo Muhimu kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo Mwaka wa Masomo 2026/2027
Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) – TTCIH iliyopo Ifakara, Mkoani Morogoro, inapenda kuutaarifu umma kuwa barua za maelekezo ya kujiunga na chuo kwa wanafunzi waliochaguliwa kwenye dirisha la kwanza (AWAMU YA KWANZA) zimetoka. Waombaji wote waliochaguliwa wanashauriwa kupakua maelekezo hayo muhimu kulingana na kozi waliyochaguliwa.
| Course Name | Joining Instructions |
|---|---|
| Diploma in Optometry | Pakua maelekezo ya kujiunga hapa |
| Diploma in Clinical Medicine | Pakua maelekezo ya kujiunga hapa |
| Diploma in Pharmaceutical Sciences | Pakua maelekezo ya kujiunga hapa |
| Medical Examination Form | Pakua Medical Examination Form hapa |
Tafadhali fuata maelekezo yote yaliyotolewa kwenye barua hiyo ili kukamilisha mchakato wa uthibitisho wa kujiunga na Chuo cha TTCIH. Kwa maelezo zaidi, wasiliana na dawati la UDAHILI.
Msaada Dawati la Udahili

Tangazo Muhimu kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo Mwaka wa Masomo 2026/2027