KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA KUHAMIA
Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) – TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro inawatangazia umma kwamba sasa dirisha la uhamisho kwa wanafunzi wanaoendelea (CONTINUING STUDENTS) limefunguliwa kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kwa kozi zifuatazo; Stashahada ya Utabibu, Stashahada ya Ufamasia & Stashahada ya Optometria. TTCIH imesajisajiliwa NACTVET […]






