Kufunguliwa kwa Dirisha la Udahili 2026/2027

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) – TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro inawatangazia umma kwamba sasa inapokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2026/27 kwa kozi zifuatazo; 

TTCIH imesajisajiliwa NACTVET kwa namba HAS/003. Chuo kina mazingira tulivu na mazuri kwa kujifunza ikiwa pamoja na wakufunzi waliobobea katika fani za afya na tafiti, hospitali ya kujifunzia kwa vitendo, mtandao wa uhakika, na kutoa mafunzo kupitia Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa unaosimamiwa na Wizara ya Afya (National eLearning Platform for Health).

Stashahada ya Utabibu

Course Item: Description
Course Level NTA Level 6
Mode of Study Full Time
Durations 3 Years (6 Semesters)
Entry Qualifications Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in non-religious subjects including Chemistry, Biology and Physics/Engineering Sciences. A pass in Basic Mathematics and English Language is an added advantage years.
Course Fee Local Fee:1,700,000/=
Applications All applications are ONLINE. Click Here to Apply.

Stashahada ya Ufamasia

Course Item: Description
Course Level NTA Level 6
Mode of Study Full Time
Durations 3 Years (6 Semesters)
Entry Qualifications Holder of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with minimum of five passes in Physics, Chemistry, Biology, Mathematics and English Language.
Course Fee Local Fee:1,200,000/=
Applications All applications are ONLINE. Click Here to Apply.

Stashahada ya Optometria

Course Item: Description
Course Level NTA Level 6
Mode of Study Full Time
Durations 3 Years (6 Semesters)
Entry Qualifications Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with At Least four (5) Passes in non-religious Subjects including Passes in Biology, Chemistry, Basic Mathematics, Physics/Engineering Sciences and English Language..
Course Fee Local Fee:1,400,000/=
Applications All applications are ONLINE. Click Here to Apply.

Msaada Dawati la Udahili

Kwa kujaza fomu moja kwa moja Chuoni  na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo: 0718 552 164 & 0781,845 374, au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz

Mwisho wa Kupokea Maombi

SCAN TO START YOUR APPLICATION
Share:
Previous Post