Nafasi za Kujiunga na Chuo kwa Mwaka wa Masomo 2022/2023
Udahili Mwaka wa Masomo 2022/23 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health, (TTCIH) anawatangazia umma nafasi za kujiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2022/2023. TTCIH ni Taasisi ya mafunzo ya Afya Ifakara iliyosajiliwa na NACTVET kwa namba HAS/003, Chuo kipo Ifakara mjini, Mkoani Morogoro. Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo Stashahada ya […]